Lounge yafungiwa kwa kutiririsha kinyesi ovyo Awali Afisa Mazingira halmashauri ya mji Babati ameeleza kuwa mmiliki wa eneo hilo amekuwa akikaidi taarifa za afisa mazingira halmashauri ya mji za kutakiwa kufanya usafi mazingira hayo. Read more about Lounge yafungiwa kwa kutiririsha kinyesi ovyo