"Rushwa sio maadili ya Jeshi la Polisi" - ACP

Mkuu wa Operesheni Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Nicholaus Livingstone

Askari wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Songwe, wametakiwa kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii ikiwa ni pamoja na kuzingatia maadili ya kazi pindi wanapotekeleza majukumu yao ya kusimamia sheria za usalama barabarani kwa lengo kuendelea kujenga taswira nzuri ya Jeshi la Polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS