'Umenuna' yamrejesha Mb Dogg

Msanii MB Dogg, ambaye baada ya ukimya wa muda mrefu akiwa anafanya mambo mengine ikiwepo suala zima la kuigiza filamu, ameamua kurejea katika sanaa ya muziki na ngoma mpya inayokwenda kwa jina 'Umenuna'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS