Geosteady akomaa na kazi tata
Msanii wa muziki Uganda, Geosteady ambaye hivi karibuni amemaliza kesi iliyokuwa ikimkabili kwa kunakili kazi ya muziki ya marehemu Elly Wamala bila idhini na kuifanya yake, atazindua albam yake mpya, ambayo ina kazi hii ndani yake.