Kivuko Dar-Bagamoyo kuwasili mwezi Mei
Serikali ya Tanzania imetumia shilingi bilioni 7.9 kununua kivuko chenye uwezo wa kubeba abiria mia tatu kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo mkoani Pwani ili kupunguza msongamano wa magari kati kati ya Jiji la Dar es Salaam.