Mrusi wa Cheka kutua Aprili mosi Mabondia watanzania Tomas Mashali na Japhet kaseba wako katika maandalizi ya mwisho mwisho wakijiwinda na mpambano wao wa kimataifa kuwania ubingwa wa UBO utakaopigwa mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es salaam Read more about Mrusi wa Cheka kutua Aprili mosi