Annastazia Gura ataka wanamitindo kuheshimiwa
Mshindi wa shindano la Top Model kwa mwaka 2014 kutoka Tanzania, Mrembo Annastasia Gura amesema kuwa, kuna umuhimu mkubwa wa wadau hususan wasichana kujitokeza kwa wingi kujihusisha na masuala ya mitindo, ili kujiongezea ufahamu wa mambo.