Daddy Owen kuandaa mashindano

Daddy Owen

Msanii Daddy Owen wa nchini Kenya, baada ya kushuhudia mafanikio makubwa kupitia muziki
anaofanya, ameamua kusherekea na mashabiki kwa namna yake kupitia mashindano makubwa ya mpira wa miguu ambayo atayaandaa hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS