Habida; Sijavamia uigizaji, nimesomea

Habida

Nyota wa muziki wa nchini Kenya, Habida baada ya kutangaza kupiga dili kubwa ya uigizaji ndani
ya moja ya tamthilia kubwa kabisa Afrika, ameweka wazi kuwa, fani hii ya uigizaji ni kitu
ambacho amesomea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS