Wadau walaani vurugu za wachimbaji wadogo Nzega

Mbunge wa Nzega Dkt Khamis Kigwangala akiwa amekamatwa na polisi wakati wa vurugu za wachimbaji wadogo wadogo zilizotokea jimboni mwake hivi karibuni.

Shirikikisho la wachimbaji na watafutaji madini na nishati nchini Tanzania TCME, limelaani vikali maandamano ya wachimbaji waliokuwa wakichimba dhahabu katika eneo la Mwashina, wilayani Nzega mkoani Tabora yaliyofanyika siku chache zilizopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS