Uingereza yaja na utaratibu mpya mfumo wa viza
Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania umesema unakusudia kufanya mabadiliko ya utaratibu wa maombi na utoaji viza kwa Watanzania wanaotaka kwenda nchini Uingereza kwa kufungua ofisi zitakazokuwa zinatoa huduma hiyo jijini Dar es Salaam.