Uingereza yaja na utaratibu mpya mfumo wa viza

Hapa ndipo zilipo ofisi za ubalozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam nchini Tanzania. Shughuli za viza zitahama kutoka jengo hili na kuhamia katika eneo tofauti jijini.

Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania umesema unakusudia kufanya mabadiliko ya utaratibu wa maombi na utoaji viza kwa Watanzania wanaotaka kwenda nchini Uingereza kwa kufungua ofisi zitakazokuwa zinatoa huduma hiyo jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS