Mafikizolo kutumbuiza Dar Aprili Kundi maarufu la Muziki kutoka Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajiwa kudondosha burudani ya aina yake itakayoacha gumzo Jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 5 mwezi Aprili mwaka huu. Read more about Mafikizolo kutumbuiza Dar Aprili