Diamond katika mchakato kuwania Tuzo Za Kora

Diamond

Msanii Diamond Platnumz, ameendelea kuchana mawimbi katika anga la Afrika ambapo amefanikiwa kuingia katika orodha ya wasanii 20 Bora ambao wanafanya vizuri Afrika, watakaoingia katika kinyanganyiro cha kuwania tuzo za Kora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS