MC Kats amng'ang'ania Fille

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Fille pamoja na meneja wake MC Kats wameibuka na jipya baada ya msanii huyu kutangaza kuwa hayupo tena chini ya usimamizi Kats, taarifa ambazo Meneja huyu amezikanusha vikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS