Wambura atemwa mbio za Urais Simba Michael Wambura wakati akirudisha fomu ya kugombea Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba imemuondoa aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa klabu hiyo Michael Richard Wambura kutokana na kutokuwa mwanachama halali wa Simba Read more about Wambura atemwa mbio za Urais Simba