Msimu uliopita, Yanga waliandika historia kwa kuwashangilia Simba ilipotoa sare na Azam. Sare hiyo ilirahisisha ubingwa kwa Yanga.
Ligi kuu ya soka Tanzania bara inatarajiwa kuendelea tena kesho, kwa michezo 6 kupigwa katika viwanja tofauti. Lakini michezo itakayovuta hisia za wengi ni mitatu.