SSRA yawaonya waajiri, mifuko ya hifadhi ya jamii

Mkurugenzi mkuu wa SSRA Bi. Irene Kisaka (kushoto) akiwa na mkuu wa elimu na mawasiliano kwa umma wa mamlaka hiyo Bi. Sarah Kibonde Msika

Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma za Hifadhi ya Jamii nchini Tanzania (SSRA) imewataka waajiri pamoja na mifuko ya hifadhi ya jamii kuwapa waajiriwa uhuru wa kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii wanayoitaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS