China yaahidi makubwa Tanzania

Rais Kikwete akiwa na Waziri Mkuu wa China Li Keqiang.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Mheshimiwa Li Keqiang.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS