Hali ya usalama Kagera ni shwari - mkuu wa mkoa Mkuu wa mkoa wa Kagera nchini Tanzania, kanali mstaafu Fabian Masawe Mkuu wa mkoa wa Kagera nchini Tanzania Kanali mstaafu Phabiani Masawe amewatoa hofu wananchi wa mkoa huo kwa kusema kwamba hali ya usalama imeimarishwa. Read more about Hali ya usalama Kagera ni shwari - mkuu wa mkoa