MwanaFA, Mpoto wakamua Dubai

MwanaFA Mrisho Mpoto Dubai

Msanii wa muziki Mrisho Mpoto usiku wa kuamkia leo amefanya onyesho huko nchini Dubai katika sherehe kubwa ya ubalozi wa Tanzania nchini humo kusherekea miaka 50 ya muungano wa Tanzania na Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS