Msanii Kizito adaiwa kukiri kuhusika katika Ugaidi
Msanii wa muziki Kizito Mihigo kutoka nchini Rwanda amedaiwa kukiri kuhusika katika matukio ya kigaidi yaliyokuwa na lengo la kuiangusha serikali ya nchi hiyo, na hii ikiwa ni siku kadhaa tangu alipokamatwa na kuwekwa kizuizina kwa mashtaka haya.