Msanii Kizito adaiwa kukiri kuhusika katika Ugaidi

Kizito Mihingo

Msanii wa muziki Kizito Mihigo kutoka nchini Rwanda amedaiwa kukiri kuhusika katika matukio ya kigaidi yaliyokuwa na lengo la kuiangusha serikali ya nchi hiyo, na hii ikiwa ni siku kadhaa tangu alipokamatwa na kuwekwa kizuizina kwa mashtaka haya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS