Rais Kikwete amlilia Gurumo

Marehem Muhidin Gurumo (Kulia) enzi za uhai wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara kufuatia kifo Muhidini Maalim Gurumo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS