Wazazi CCM wakataa kutaja sifa za mgombea urais
Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha Mapinduzi CCM imesita kuweka wazi msimamo wake kuhusu umri wa mgombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu ujao, kwa maelezo kuwa suala hilo linasubiri ratiba, taratibu na miongozi ya chama.

