Dkt. Nchimbi atangaza rasmi kutogombea Songea Dkt. Emmanuel Nchimbi akihutubia mkutano wa hadhara Mbunge wa Songea mjini Dkt Emmanuel Nchimbi ametangaza rasmi kutogombea tena ubunge katika jimbo, katika mkutano wa hadhara ambapo baadhi ya wanachama wa CCM wameonesha kutokubaliana na uamuzi huo. Read more about Dkt. Nchimbi atangaza rasmi kutogombea Songea