Dkt. Nchimbi atangaza rasmi kutogombea Songea

Dkt. Emmanuel Nchimbi akihutubia mkutano wa hadhara

Mbunge wa Songea mjini Dkt Emmanuel Nchimbi ametangaza rasmi kutogombea tena ubunge katika jimbo, katika mkutano wa hadhara ambapo baadhi ya wanachama wa CCM wameonesha kutokubaliana na uamuzi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS