Noorah: Chamber Squad kufufuka msanii wa muziki wa bongofleva Noorah Noorah, staa mkongwe wa muziki wa Bongofleva amefufua matumaini ya kurejea kwa kundi la Chamber Squad, baada ya kutatua tatizo kubwa ambalo hakuwa tayari kuliweka wazi, lililokuwa likiwakwamisha. Read more about Noorah: Chamber Squad kufufuka