Wafanyabiashara kuingia Mikataba na Wagombea Urais

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabaisahra nchini Tanzania Johnson Minja akizungumza na Wafanyabiashara pamoja na Waandishi wa Habari hawapo Pichani

Jumuiya ya wafanyabiashara hapa nchini imesema kuwa itahakikisha kuwa inakaa na wagombea wa urais hapa nchini ili kutaka kujua kama atawasaidia ili wamuingize madarakani na kumjazisha mkataba kwa ajili ya kumfuatilia kama atatekeleza waliyo kubaliana

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS