Wasanii wanogesha uzinduzi wa kampeni

Baadhi ya wasanii wa muziki na filamu wakiungana katika uzinduzi wa kampeni ya CCM Kitaifa.

wasanii mbalimbali nchini wakiwemo wa muziki na filamu kwa pamoja leo hii wamejumuika kutumbuiza katika uzinduzi wa kampeni za urais, ubunge na udiwani za Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS