Serikali yawahakikishia wananchi usalama Okt. 25

iri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Mathias Chikawe.

Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Tanzania imewahakikishia watanzania ulinzi na usalama wa raia na mali zao wakati wa zoezi la uchaguzi na kuwataka wananchi kupuuzia tarifa za vitisho zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS