BASATA iboreshe huduma zake - Nuh Mziwanda

Msanii wa Bongo Flava Nuh Mziwanda amelitaka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kuboresha huduma zao na kuangalia jinsi tasnia ya muziki kwa sasa inavyokwenda kwani muziki huo unafanywa na vijana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS