B.O.B naye kudondoka bondeni

Msanii wa muziki kutoka Marekani B.O.B

Msanii wa kimataifa kutoka Marekani, Bobby Ray Simmons, maarufu zaidi kama B.O.B anatarajiwa kutua Afrika Mashariki mwishoni mwa mwaka huu, ambapo atatumbuiza huko nchini Kenya katika tamasha kubwa litakalofanyika Desemba 12.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS