Ruby ajipanga kuonja soko la albam msanii wa muziki wa bongofleva nchini Ruby Msanii wa muziki Ruby amesema kuwa, kwa sasa anajipanga kwa ajili ya kuachia Albam akiwa anajiamini kuwa atafanikiwa kuiuza licha ya kuwepo kwa changamoto ya kusuasua kwa mauzo ya albam za muziki Bongo. Read more about Ruby ajipanga kuonja soko la albam