Dkt. Magufuli asisitiza kuboresha sekta ya Afya.
Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli amewaahidi wakazi wa Mkoa wa Iringa kuwatatulia kero mbalimbali ikiwemo kuanzisha kiwanda cha kusindika mbogamboga, kutatua kero ya maji pamoja na kuboresha sekta ya Afya.