NEC yasema imejipanga vizuri kwa ajili ya Walemavu

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) Jaji Damian Lubuva.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesema kuwa imejipanga vizuri kuhakikisha watu wenye ulemavu wanapiga kura bila bugudha yoyote kwa kuwaandali mazingira rafiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS