Q Chief kumwaga 'Chawa' baada ya uchaguzi

Nyota mkongwe wa Bongofleva, Q Chief

Nyota mkongwe wa Bongofleva, Q Chief amesema kuwa kutokana na kuelewa hamu kubwa ya watanzania sasa kutaka kumjua Rais wao, ataleta mapinduzi kipindi kifupi baada ya hilo kwa kuachia track yake iitwayo chawa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS