Dkt. Rukia Ally mtaalamu wa afya kutoka wizara ya afya na ustawi wa jamii.
Tafiti zinaonesha kuwa idadi Kubwa ya watoto chini ya miaka mitano wanakufa kutokana na magonjwa haya ya vichomi na kuhara ambayo kutokana na walezi kuchelewa kuwafikisha sehemu za tiba.