Wamachinga watakiwa kutotumika na wanasiasa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza,Charles Mkumbo. Wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga jijini Mwanza, wametakiwa kutotumika na wanasiasa hususani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu bali wawe chanzo cha kuilinda amani. Read more about Wamachinga watakiwa kutotumika na wanasiasa