Asilimia 97 ya Zahanati nchini hazina maabara

Mwakilishi wa Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii Dkt. Hajas Senkoro

Asilimia 97 ya zahanati za serikali nchini zinadaiwa kuwa hazina maabara hatua inayosababisha makundi ya akina mama wajawazito, watoto walio na umri wa chini ya miaka 5 na wazee kupoteza maisha hasa sehemu za vijijini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS