Alex wa Ghetto Kids afariki dunia kwa ajali.
Mtoto Alex ambaye ni mmoja wa watoto wanaounda kundi la Ghetto Kids ambao wanafanya kazi na msanii toka Uganda Eddy Kenzo amefariki dunia, na mwengine ambaye anajulikana kwa jina la Patricia yuko katika hali mbaya, baada ya kupata ajali ya baiskeli.

