Tutahakikisha Wanawake wote waNapiga kura: NEC Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imesema imejipanga vyema kuhakikisha wanawake wote wenye sifa za kupiga kura wanatimiza haki yao ya msingi pasipo bugudha yoyote. Read more about Tutahakikisha Wanawake wote waNapiga kura: NEC