CCM, CHADEMA watimuliana vumbi Kaskazini

Wagombea Nafasi ya Urais Mh. Edward Ngoyai Lowassa na Mh. John Pombe Magufuli.

Vyama vikuu vyenye upinzani nchini Tanzania katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu vimeendelea kuchuana katika kampeni kanda ya kaskazini huku CCM wakizindua kampeni ya 'Elimu ya Mpiga Kura' kwenye majukwaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS