Serikali kuyakomboa maeneo ya umma nchini

Naibu Waziri wa Wizara ya ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa Angela Kairuki.

Serikali ya Tanzania ipo katika jitihada ya kuyakomboa maeneo ya wazi ya umma yapatayo 21,328 ambayo yamevamiwa na watu na kujimilikisha kinyume cha taratibu za kisheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS