Kirya kupiga vita ugonjwa wa saratani

Staa wa muziki Maurice Kirya wa Uganda

Star wa muziki Maurice Kirya wa Uganda amegawa faida anayopata kutoka katika biashara ya mgawaha anayofanya, ambapo atakuwa akichangia kiasi cha pesa kutoka mauzo yake kusaidia harakati za kuongeza uelewa wa tatizo la ugonjwa saratani nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS