Mwili wa Mchungaji Mtikila kuagwa Karimjee leo
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), marehemu Christopher Mtikila unatarajiwa kuagwa leo katika ukumbi wa kareemjee Jijini Dar es Salaam na kusafirishwa kuelekea mkaoni Njombe wilayani Ludewa.