Seif azililia jumuiya,Lowasa akataa matokeo ya NEC
Mgombea urais wa Zanzibar na katibu mkuu wa chama cha wananchi CUF, Maalim Seif Shariff Hamad ameziomba Jumuiya za kimataifa kuingilia kati mgogoro wa kuhairishwa kwa uchaguzi Mkuu Visiwani Zanzibar.