Wasanii tuwe makini na wagombea kututumia - Darasa

Zikiwa zimebaki wiki mbili na siku chache tu na kampeni zikiwa zimeshika kasi ili Watanzania wapige kura, msanii Darasa ametoa wito kwa wasanii wenzake ambao wanashiriki kwenye kampeni hizo, na kuwataka kuwa makini na wagombea wanaowatumia wasanii

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS