Upasuaji washindikana kwa kukosa umeme Uyui Tabora

Jengo la upasuaji lililojengwa kwenye Kituo cha Afya kilichopo Kata ya Upuge, Wilayani Uyui mkoani Tabora, linashindwa kutoa huduma zake kwa ufasaha kutokana na kata hiyo kutokuwa na huduma ya umeme wa shirika la umeme nchini Tanzania (Tanesco).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS