Mgombea Urais wa Ukawa kupitia CHADEMA, Mh. Edward Lowassa Jijini Mwanza.
Kampeni za kuwania nafasi ya Urais nchini Tanzania imeendelea kushika katika Sehemu mbalimbali huku wagombea wawili wenye upinzani mkali wakiiteka mikoa waliyotembelea kwa kulakiwa na Umati wa watu.