Pharrel Williams atangaza kumsapoti Hilary Clinton
Pharrel Willliams ametoa taarifa hiyo alipokuwa akihojiwa kwenye moja ya vipindi vya television nchini Marekani, na kusema kwamba ni wakati wa mwanamke kuongoza nchi hiyo kwani wanawake hufikiria mambo kwa njia ya kipekee.