Pharrel Williams atangaza kumsapoti Hilary Clinton

Pharrel Willliams ametoa taarifa hiyo alipokuwa akihojiwa kwenye moja ya vipindi vya television nchini Marekani, na kusema kwamba ni wakati wa mwanamke kuongoza nchi hiyo kwani wanawake hufikiria mambo kwa njia ya kipekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS