Serikali ijayo izingatie mahusiano bora - Shyrose

Serikali ijayo imetakiwa kutoa kipaumbele kikubwa katika kujenga mahusiano bora ya kimataifa hususani Afrika Mashariki, kwa kutenga bajeti ya kutosha katika wizara hiyo, ili kuweza kujenga hali nzuri ya kiuchumi hususani kwa vijana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS