Duni ashindwa kunadi wagombea Buyungu na Kasulu

Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania kupita Chadema anaeungwa mkono na UKAWA,Mh. Juma Duni Haji

Mgombea Mwenza wa urais wa Tanzania kupita Chadema anayeungwa mkono na UKAWA, Mh. Juma Duni Haji amewataka wagombea wa ubunge katika majimbo tofauti kuheshimu maamuzi ya viongozi wa UKAWA ya kuachiana majimbo ili kuepuka kugawana kura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS