Dkt. Kigoda kuzikwa leo alasiri

Dkt.Mohammed Gharib Bilal akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Dkt. Abdallah Kigoda jijini DSM

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jayaka kikwete leo atawaongoza wakazi wa Dar es Salaam na Watanzania kwa ujumla katika Mazishi ya Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt. Abdalah kigoda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS